Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Mara baada ya pambano la klabu bingwa ya dunia kati ya Atletico Mineiro ya Brazil na Raja Casablanca ya Morocco kumalizika jana...wachezaji wa Raja walimvamia staa wa Atletico, Ronaldinho na kumuomba viatu vyake huku wakimvua.. thanks for the memories Dinho....

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top