Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 

Jeneza lenye mwili wa Mandela likiwa makaburini.
 
Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela likipelekwa makaburini tayari kwa maziko.
 
Hapa ndipo Hayati Nelson Mandela atakapozikwa.
        
Oprah Winfrey naye ni miongoni mwa waombolezaji. Hapa akielekea eneo la makaburi.
 
Askofu Desmond Mpilo Tutu ambaye alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Mandela naye akielekea eneo la makaburi.
 
Jeneza baada ya kuwasili eneo la makaburi. Hapa likifunguliwa kutoka kwenye gari maalum.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top