Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

London,Uingereza 


MSANII wa filamu na muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Shilole amepiga hatua kubwa katika ulimwengu wa muziki, baada ya kutambulika kimataifa, Shilole ambaye yuko nchini Uingereza kwa ziara ya kikazi, ameweza kupata nafasi ya kutinga katika Ofisi za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC).

Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya Shilole akiwapagawisha mashabiki wake 
Shilole anakuwa msanii wa pili mwaka huu kutinga BBC, baada ya msanii mwenzake Ambwene Yesaya (AY) kuwa msanii wa kwanza mwaka huu kutinga katika ofisi hizo,Shilole ambaye atamba hivi sasa katika tasnia ya muziki huku akijizolea sifa kemkem, kutoka na uwezo wake mkubwa wa kutumia makali yake ipavyo akiwa jukwani.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top