Mazishi
ya mzee Nelson Mandela yamefanyika muda huu katika kijiji cha Qunu
katika mkoa wa Eastern Cape na kumaliza wiki moja ya maombolezi ya
shujaa huyu wa Afrika mzee Nelson Mandela.
Familia ya Mandela ilikesha wakijiandaa kwa mazishi ya leo huku
kukiwa na muimbaji ambaye atakuwa anaita mizimu ya mababu wa kale huku
wakiongelesha mwili wa Mandela kumwambia kuwa sasa anazikwa.
Moja
kati ya mataifa yaliyopata heshima ya kuongea mbele ya viongozi
mbalimbali duniani ni Rais wa Tanzania mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment