Waraka mwingine ulioandikwa katika lugha ya Kiswahili umechapishwa kwenye tovuti v2catholic.com... unataja majina ya Watanzania wawili kuwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya.

Waraka huo wenye ulio na saini ya aliyejiita
Jumaa, akiwa jela Hon
Kong, tarehe 12 Desemba 2013 ni wa kurasa mbili zilizojaa maneno ya
kujuta kwa kufanya kazi hiyo haramu, unaeleza mbinu mpya inayotumiwa na
wafanyabiashara hao haramu kwa kuwatoa kafara Watanzania wanaokubali
kuwa punda wa kubeba dawa hizo.
Mwishowe unatoa onyo kwa kila Mtanzania anayejiingiza katika biashara hiyo na kutoa wito wa kusambaza taarifa hii ili kuwaonya watu wengine wasithubutu kujiingiza katika biashara hiyo haramu.
Unaweza kuofya linki iliyopachikwa hapo juu kufungua na kusoma waraka huo.
Mwishowe unatoa onyo kwa kila Mtanzania anayejiingiza katika biashara hiyo na kutoa wito wa kusambaza taarifa hii ili kuwaonya watu wengine wasithubutu kujiingiza katika biashara hiyo haramu.
Unaweza kuofya linki iliyopachikwa hapo juu kufungua na kusoma waraka huo.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment