Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Hakika Baada ya zile Goli tatu za Yanga kipindi cha kwanza hakuna aliye amini kuwa simba wangezirudisha zote ..baada ya kipindi cha pili Simba walirudisha magoli yote na kufanya Baadhi ya Mashabiki wa Yanga kuzimia kwa kutokuamini kinachotokea uwanjani kwa vile walikuwa washajiwekea wamesha shinda....Kweli mpira dakika 90

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top