Hakika Baada ya zile Goli tatu za Yanga kipindi cha kwanza hakuna aliye amini kuwa simba wangezirudisha zote ..baada ya kipindi cha pili Simba walirudisha magoli yote na kufanya Baadhi ya Mashabiki wa Yanga kuzimia kwa kutokuamini kinachotokea uwanjani kwa vile walikuwa washajiwekea wamesha shinda....Kweli mpira dakika 90
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment