Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This




khaaaa kweli
mpambe ana nguvu



mmmmh mmmmh
mmetumwa??


kwakweli mimi nimechoshwa na haya mambo wajameni najionea air air tuu, hivi huko Instagram kuna pepo gani?? mwenzenu akiweka tu post yake wanaadam mnakuwa na joto hasira utafikiri mmelipwa vile daah  wabongo kwa umbea na drama salute, sasa mnachogombana nyie wenyewe kwa wenyewe ni nini haswa??
wenzenu wamepumzika na wanafanya yao nyie pumzi zinawatoka sasa mkiumwa pressure itakuwaje yarabi na pilipili sio yenu, hebu acheni ushambenga fanyeni kazi kutwa kucha masaa yote mpo insta ili mgombane

muwaache wenzenu  wapumzike.

Posted by CEO Sintah (Unstoppable)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top