Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
MWIGIZAJI wa filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefunguka kuwa wale waliozusha kuwa amechumbiwa, watasubiri sana kwani suala la ndoa kwake bado halipo leo wala kesho.


Mayasa Mrisho ‘Maya’.
Akipiga stori na paparazi wetu, Maya alisema uvumi ulionenezwa miezi kadhaa iliyopita kuwa amechumbiwa ulikuwa una lengo la kumchafua kwani yeye siku yake ya kuolewa ikifika ataweka hadharani.
Watasubiri sana hao waliozusha suala la mimi kuolewa, sijui hizo taarifa walizitoa wapi. Mimi muda ukifika tu nitawaambia maana wanaonekana wana hamu sana na ndoa yangu, alisema Maya.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top