Wakazi wa kijiji cha Kahaini wilayani Maragua wameamkia majonzi
baada ya mwili wa msichana wa miaka mitano kupatikana mita chache kutoka
shule aliyokuwa akihudhuria. Na kama hilo halikuwa kubwa, baya Zaidi,
mjombake mtoto huyo yuko korokoroni baada ya kukiri kumnajisi mpwa wake
kisha akamuua na kuutupa mwili wake. Kuwa unyama umewatoka hayawani na
kuwaingia binadamu, jamaa huyo alidai kuwa pepo ndio waliomtuma
kutekeleza unyama huo.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment