Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Movie mpya ya msanii maarufu wa nchini Ghana, iitwayo My Fist Wife. Katika Movie hii mwanadada Nikki Samonas akiwa na Jim Iyeke, wanaonekana kukolea kimahaba na msanii mwenzake hadi kufikia kiasi cha kufanya kweli badala ya maigizo kama ilivyotakiwa. Kwa sasa wengi miongoni mwa mashabiki wake wamechukizwa na kitendo chake hicho, na hii imemletea picha na sifa mbaya katika Tasnia ya Uigizaji na jamii kwa ujumla.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top