Ligi kuu ya Uingereza
imethibitisha kwamba siku ya kufunga dirisha la usajili la kiangazi imesongezwa
mbele kutoka August 31 mpaka September 2.
Sababu ya kusogezwa
mbele kwa siku ya kufunga dirisha hilo la usajili nj kutokana na tarehe 31 ya
mwezi August kuangukia siku ya Jumamosi ambapo sio siku ya kazi na pia ni siku
ya michezo ya
Mpaka sasa haijawekwa
wazi ni muda gani hasa dirisha litafungwa nchini England, muda wa zamani ulikuwa
ni saa saa sita za usiku.
Mapema mwezi uliopita,
mamlaka za soka nchini Italia pia walithibitisha kuongezwa kwa muda wa kufungwa
kwa dirisha la usajili mpaka tarehe 2 September siku ya Jumatatu saa tano
asubuhi kwa saa za kwao.
Ligue 1 ya Ufaransa na
Spanish La Liga pia zinategemewa kuongeza muda kama ligi .
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment