Mwigizaji maarufu wa bongo movies, Kulwa kikumba, maarufu kama dude
amepewa nafasi ya kuwa "video boy" ama muhusika mkuu katika video mpya
ya mwanadada lady jay dee YAHAYA inayotarajiwa kutoka hivi karibuni.
Katika picha mbalimbali zilizotolewa na Jay dee kupitia mtandao wa twitter na facebook zimemuonesha DUDE katika matukio mbalimbali ya ndani ya video hiyo iliyoanza kutengenezwa leo na inayotarajiwa kuachiwa ndani ya mwezi huu.
Katika picha mbalimbali zilizotolewa na Jay dee kupitia mtandao wa twitter na facebook zimemuonesha DUDE katika matukio mbalimbali ya ndani ya video hiyo iliyoanza kutengenezwa leo na inayotarajiwa kuachiwa ndani ya mwezi huu.
Vipi kama dude aliyejichukulia umaarufu kwenye mchozo wa bongo dar es salaam kwa tabia yake ya utapeli akiingiza kama yahaya kwenye wimbo wa lady jaydee wenye jina hilo
Yahaya akifanya utapeli hapo
Dude ameiambia BONGO5 leo kuwa wameanza kushoot video ya lady jaydee yahaya tangu jana na pia bado wanaendelea kushoot kwa location tofauti tofauti pamoja na nyumbani lounge
Picha kwa hisani ya bongomovies.com
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment