Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

    Mkutano mkuu wa klabu ya Simba umefanyika leo kwenye Bwalo la Polisi, Osteybay Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama wapatao mia saba ulifanyika kwa saa moja kuanzia saa nne mpaka saa tano kamili asubuhi. Mkutano huo ulizungumzia mambo mengi ikiwemo Taarifa ya matumizi ya fedha za klabu, Suala la ujenzi wa uwanja wa Simba pamoja na kuzinduliwa kwa mkakati mpya wa maendeleo ya Simba.
    Ibrahim Masoud Maestro na Mwenyekiti wa kamati ya usajili Zakaria Hans Pope

    Mwenyekiti aliyepita wa Simba Hassan Dalali alikuwa mmoja wa walio hudhuria.

    Wanachama


    Katibu Mkuu wa Simba Mtawala










    picha na kitongoni blog

    Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

    Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

    Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
    http://www.facebook.com/kibonajoro

    Post a Comment

     
    Top