Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mtu mzima Dj Khaled ameshindwa kukaa na la moyoni kwa muda mrefu sasa ameamua aweke wazi kuwa anataka kumchukua jumla jumla (kumuoa) Nicki Minaj na yupo tayari kwani anujua yeye ndiye mwanaume anaefaa kuwa na Nicki, Katika maneno yake Dj Khaled alisema alitamani kumwambia ukweli Nicki Minaja tangu mwaka jana ila alishindwa lakini leo ndo kaamua kusema ukweli..

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top