Mwenyekiti wa Taifa Chadema na Kiongozi wa upinzani bungeni Freeman
Mbowe amekamatwa na Jeshi la polisi nchini na kwa sasa yuko chini ya
ulinzi mkali sana wa Polisi.
Tutaendelea kuwafahamisha wananchi kila kitakochoendelea na tunaomba watanzania wawe watulivu.
Mungu akiwa upande wetu hakuna wa kutushinda..
Tutaendelea kuwafahamisha wananchi kila kitakochoendelea na tunaomba watanzania wawe watulivu.
Mungu akiwa upande wetu hakuna wa kutushinda..
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment