Binti mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Mariam umemkuta umauti baada ya kubakwa mpaka kufa,vijana hao waliokosa utu na kushindwa kumuogopa Mungu walifanya kitendo hicho mbele ya eneo la kanisa huko Nachingwea Lindi.
Marehemu akitoka Nachingwea Resort katika muziki siku ya
ijumaa.Inasadikika kuwa marehemu alikuwa amelewa na watu walio mbaka alitoka nao
kwenye muziki.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment