Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ ameomba pambano la ndondi dhidi ya Jacqueline Wolper ili waweze kumaliza ubishi wa bifu lao.


Akipiga stori na paparazi wetu mapema wiki hii, Baby alisema amechoshwa kusikia tambo za mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke, wakutane ulingoni ili amuoneshe cha mtema kuni.

“Asiniambie mimi natafuta kiki, mimi ni msomi kuliko yeye, arudi shule au akauze vipodozi. Najua kuimba, kuigiza na ni msomi yeye anaweza hayo? Kimsingi naomba pambano nimtandike ulingoni,” alisema Baby Madaha.

Source:Global Publisher

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top