Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Kiongozi wa Shirika la UNDP(UNDP Administrator) Bi. Helen Clark ikulu jijini Dar es Salaam jana asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Kiongozi wa
Shirika la UNDP(UNDP Administrator) Bi. Helen Clark ikulu jijini Dar es
Salaam
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Spika wa bunge la Oman Mhe.
Sheikh Khalid Bin Hilal Al Mawaali ikulu jijini Dar es Salaam
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe waliofuatana na Spika wa Bunge la Oman ikulu jijini Dar es Salaam
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge la
Oman Mhe.Sheikh Khalid Bin Hilal Al Mawaali ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa
Bunge la Oman Mhe.Sheikh Khalid Bin Hilal Al Mawaali na ujumbe wake
ikulu jijini Dar es Salaam kulia ni Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya
muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai.
Picha na Freddy Maro
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment