Nje
ya tukio tulikutana na Msanii BAM wa jambo squad wanaotamba na ngoma
zao kibao zilizowafanya kunyakuwa tuzo ya kili music award na kusema
kuwa,baada ya dogo janja kusafiria nyota yao kwa muda mrefu sasa hayo ni
sehem tu ya makofi ya Mwenyezimungu na atarajie kukutana na balaa
mtindo mmoja endapo tu atashindwa kuwa na heshima kwa wakubwa zake na
waliomjenga kisanii mpaka hapo alipofikia kabla hajaiba idea na mashairi
ya jambo squard ambapo dogo alishine na kutoka kimtindo.
Tunampa
pole dogo janja na kumpa ushauri kuwa ikiwa ana njozi za kuwa msanii
mkubwa nchini na kimataifa ajijenge kitabia na kuepuka makundi
yanayoweza kumpoteza na kumuingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment