Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

 Rais Jakaya Kikwete akimwapisha, Mwantumu Mahiza kuwa Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania katika hafla iliyofanyika leo Ikulu, Dar es Salaam.
 JK akimkabidhi Mahiza zana za kufanyia kazi

               JK akisalimiana na Dk. Salim Ahmed Salim aliyehudhuria hafla hiyo
                                                      JK akipiga picha na Mahiza
 JK akiwa na Mahiza, Dk. Salim Ahmed Salim pamoja Jaji Kiongozi, Fakih Jundu
 JK akiwa katika picha ya pamoja na skauti wakiwemo wabunge
 JK akipiga picha na familia ya Mwantumu Mahiza
 JK akiwa katika picha ya pamoja na wabunge Skauti
 JK akizungumza na baadhi ya wabunge skauti waliohudhuria sherehe za kuapishwa Mwantumu Mahiza
 JK na Mahiza akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa UWT
 JK akiwa katika picha ya pamoja na Maahiza pamoja na Skauti Mkuu aliyemaliza muda wake, Idd Kipingu
 Rais Jakaya Kikwete (kulia) akizungumza na skauti wabunge baada ya kumuapisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza (kushoto) kuwa Kamishna Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam
 Mahiza akipongezwa na skauti wenzie
Kipingu akimvisha  kofia Mahiza
                 picha kwa hisani ya demasho

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top