Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Nilitegemea hili huenda ndio ikawa kauli ya kila msomaji wa ukurasa huu si kitu cha kawaida kwa mmilikiwa timu yeyote kutumia pesa nyingi kisha kujikuta timu yake ikiwa haina kiongozi wa kuunganisha nyota lukuki aliosajili..Haya ndiyo kocha kama Roberto ManciniLazima yamkute...

Taarifa iliyotolewa na mtandao wa klabu hiyo imeeleza kuwa nafasi ya Ukocha kwa sasa itashikiliwa na Msaidiz wake Brian Kidd.

Taarifa zaidi zinaeleza timu imeshindwa kufikia malengo waliyojiwekea zaidi ya kufuzu kwa michuani ya UEFA pekee hivyo wamefikia uamuzi wa kumtafuta maneger mpya msimu ujao 2013/14.

mwenyekiti Khaldoon Al Mubarak amesema Roberto ana rekodi ya kipekee na heshima kwa mmiliki wa klabu hiyo Sheik Mansour,pia kwa mashabiki wa klabu hiyo amejijengea heshima ya kipekee kwa kuvunja  historia ya miaka 35 ya ukame wa vikombe.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top