Pia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati na
Madini umesimamishwa kwa muda mpaka ufumbuzi wa tatizo la vurugu hizo utakapopatiwa suluhisho.
Kesho bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya Afrika Mashariki itajadiliwa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment