Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;

why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi chako mwanao mmoja aje kua star naafanyiwe kma unayonifanyia,Mungu akupofue macho na vidole vikatike ushindwe kudanganya watu nakula ela zao kwakuwatongoza nakujidai unashida.mfyuuuuuu” –Wolper aliyaandika hayo kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Kaa chonjo,tabia hii sio nzuri,tubadilikeni jamani.Pole sana Wolper

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top