Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper”
akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi, aliandika maneno
haya mara baada ya kubandika picha hiyio hapo juu;
“ 2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






Post a Comment
Post a Comment