Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 Gari ndogo ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongana na Basi la Meridian
 Wasamaria wema wakinasua dereva wa gari ndogo

Dereva wa Gari ndogo akiwa haamini kama amepona
 Ajali hii imehusisha basi la abiria la Meridiani pamoja na gari ndogo binafsi.Dereva wa gari binafsi amenusurika kifo baada ya gari yake kuharibika vibaya.
 
 Ajali hii imetokea maeneo ya Mkata barabara ya kwenda mikoa ya Kaskazini.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top