Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
unitedkatika mchezo wa mapema uliochezwa leo timu ya mannchester united imelazimishwa sare ya bila kufungana na timu ya tottenham katika uwanja wa white hatlen Mchezo huo ulikuwa mkali na wakushambuliana kila mara huku kosa kosa zikitawala kila upande mpaka dakika 90 zinakwisha timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana.

  • Kikosi cha Tottenham : Lloris, Chiriches, Fazio, Vertonghen, Davies, Mason, Stambouli; Chadli, Eriksen, Townsend, Kane
  • Spurs subs: Vorm, Dier, Walker, Lamela, Dembele, Paulinho, Soldado
  • Kikosi cha Manchester United : De Gea, Jones, McNair, Evans, Valencia, Carrick, Rooney, Mata, Young, Van Persie, Falcao
  • United subs: Lindegaard, Rafael, Smalling, Shaw, Fletcher, A.Pereira, Wilson



  • Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

    Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

    Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
    http://www.facebook.com/kibonajoro

    Post a Comment

     
    Top