Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mtu mmoja hatukuweza kumfahamu jina lake amefariki dunia papo hapo baada ya kuanguka na kukanyangwa na lori maeneo ya Tabata njia panda ya kwenda segerea.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kuwa dereva huyo wa bodaboda alikuwa kwenye foleni mara wakatokea polisi na kuanza kunyanganya funguo ya pikipiki chanzo cha yeye kunyanganywa funguo hakikuweza kupatikana halaka katika halakati zile za polisi kumnyanganya funguo kwa bahati mbaya dereva huyo alianguka kutoa kwenye pekipeki yake na hapo ndipo lori lililokuwa mwendo kasi likaweza kumkanyaga na kumsababishia umauti. 
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kuwa baada ya tukio hilo polisi walitoka eneo la tukio.
Ajali hii imetokea leo asubuhi tabata jijini dar es salaam.
Bonyeza Hapa like ukurasa wetu wa facebook

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top