Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kivazi cha Min Sketi Kidogo Kimtokee Puani Dada mmoja Huko Arusha Mitaa ya Soko kuu Katika ya Mji Baada ya Vijana Kuanza Kumzomea na Kumfuata nyuma Wakitaka Kumshika Makalio , lilikuwa ni tukio la aina yake lililovuta Hisia za watu wengi, Watu walivyozidi ilibidi Dada huyu kukimbilia kwenye Duka moja kujisitiri ndio ikawa salama yake ...Jamani wadada tunapotoka out tujiangalie tumevaa nini ...Vijana huko mtaani wananjaaaaa msije Adhirika..

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top