Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mechi ya mashindano ya Champions League kati ya klabu ya PSG na FC Barcelona iliyopigwa kwenye dimba la Stade de France na PSG kushinda 3-2, ilihudhuriwa na mastaa kibao. Miongoni mwao ni pamoja na Jay Z na mke wake Beyonce, David Beckham na rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy. Wengine ni Cannavaro na Patrick Kluivert.
1412151697184_wps_3_Former_England_forward_Da

David Beckham akiwa na furaha

1412161202610_wps_19_OIC_XCLUSIVEPIX_COM_Celeb
Jay Z,Beyonce,Bakham

Aliyekuwa nahodha wa timu ya Italia iliyoshinda kombe la dunia Fabio Cannavaro (chini kushoto) na Meneja wa Ufaransa Didier Deschamps (chini kulia) pia walihudhuria

Bekham,Kanaro

Beckham and Cannavaro wakifurahia jambo

Bekham,Kluvert

Beckham akiongea na Kluvert

singer_Beyonce_her

David Beckham akimnong’oneza kitu Jay Z wakati Beyonce akiwa busy kuangalia mechi ya PSG waliowakaribisha Barcelona usiku wa Jumanne

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top