Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
1
By3oIKGIcAAeU2u
Hali ya Mwenyekiti wa Bunge lakatiba Samuel Sitta na gangi lake imekua ngumu mno bada ya leo na yeye Mwanasheria mkuu wa Zanzibar kupigilia msumari wa kura ya uwazi ya kukataa.

Hali hii imemtia kikwewe Samuel Sitta na Wana Mapinduzi wa Rasimu ya katiba kuhaha na kuona sasa hali imekua ngumu na kusaka mbinu nyingine.
Sitta amuru kumuandikia kiji notice Waziri mkuu Mizengo Pinda kumtaka ofisini kwake mara moja bada tu, ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kupiga kura ya No.
Source http://mzalendo.net

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top