Hali ya Mwenyekiti wa Bunge lakatiba Samuel Sitta na gangi lake imekua ngumu mno bada ya leo na yeye Mwanasheria mkuu wa Zanzibar kupigilia msumari wa kura ya uwazi ya kukataa.
Hali hii imemtia kikwewe Samuel Sitta na Wana Mapinduzi wa Rasimu ya katiba kuhaha na kuona sasa hali imekua ngumu na kusaka mbinu nyingine.
Sitta amuru kumuandikia kiji notice Waziri mkuu Mizengo Pinda kumtaka ofisini kwake mara moja bada tu, ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kupiga kura ya No.
Source http://mzalendo.net
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






Post a Comment
Post a Comment