Baada ya Microsoft kuja na window 8 & 9 sasa wazindua Window nyingine.! A+ A- Print Email Kampuni ya Microsoft imezindua programu mpya ya Windows 10 ambayo imeipiku Windows 9. Kampuni hiyo pia inatarajia wateja wake watarudi kwani wengi walikuwa wakisitasita kuboresha oparesheni zao tangu Windows 8. Windows 10 itaingiliana na vifaa vingi hususan kutokana na uwezo wake wa kubadilisha ukubwa wa programu yake. Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala, Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment