Rihanna, Gabrielle Union na Kim Kardashian wameingia rasmi kwenye msululu wa mastaa wa Marekani ambao picha zao za utupu zimevuja mtandaoni.
Mapema Jumapili ya jana picha mbili za utupu za Rihanna zilivuja kwenye mitandao ya 4chan/Reddit. Weekend hii picha za mastaa wengine wakiwemo Kim Kardashian, Vanessa Hudgens, Kate Bosworth na Hope Solo nazo zilivuja.
Muigizaji wa filamu, Gabrielle Union ni mhanga wa uvujaji huo wa picha za faragha na ameazimia kuchukua hatua za kisheria.
Kuziona picha hizo sharti uwe juu ya miaka 18 Bonyeza hapa
Kuziona picha hizo sharti uwe juu ya miaka 18 Bonyeza hapa
Bonyeza Hapa like page yetu
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






Post a Comment
Post a Comment