Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mashabiki wa Apple Ijumaa hii wamezishika simu zao mpya za iPhone 6 baada ya kungojea kwa siku kadhaa nje ya maduka yanayouza simu.
article-2760926-217A8C0A00000578-231_964x632
Hata hivyo, zaidi ya iPhones milioni 5 zinaweza kuishia kwenye soko haramu la Kichina ambapo zinaweza kuuzwa kwa bei mara tatu zaidi. Jijini London Ijumaa hii mamia ya watu walikuwa wamejipanga kwenye mistari mirefu huko Covent Garden na Regent Street walionekana wakisherehekea kila baada ya kupata simu zao.
article-2762212-217C4CA500000578-449_964x448
Sam Sheikh, 27, anayeishi London, amedai kuwa amesubiria kwa siku tatu kungoja siku yake na amekuwa mteja wa kwanza wa Uingereza kupata simu
article-2760926-2178E92900000578-449_964x681
Wakati huo huo huko Marekani kwenye duka la Birmingham kulikuwa na msululu mrefu wa zaidi ya mita 100 ambapo simu zote ziliisha ndani ya dakika 10 tu. Simu hizo zinauzwa kwa kuanzia £539 kwa zile zenye GB16, £619 kwa zile zenye GB 64 na £699 kwa simu zenye GB 128. iPhone 6 Plus zinauzwa kwa kuanzia £619 kwa ile yenye 16GB, £699 kwa yenye 64GB na £789 yenye 128GB.
article-2762212-217C84B400000578-658_964x649
article-2760926-217A8C0A00000578-231_964x632
article-2760926-2178D84A00000578-389_964x652
article-2761650-217A9B8800000578-977_964x629
article-2761650-217AA6A900000578-508_964x637
article-2761650-217A9C0900000578-851_964x600
article-2761650-217A606D00000578-185_964x644
article-2761650-217A607D00000578-688_964x609
article-2761650-217AD13400000578-463_964x669
article-2761650-2178AE9F00000578-794_964x620
article-2761650-2178BDE300000578-653_964x627
article-2762212-217C4CAE00000578-213_964x721
article-2762212-217C4D4C00000578-279_964x716Bonyeza Hapa like page yetu

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top