Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Daladala mkoani kigoma asubuhi ya leo wamegoma kuingia barabarani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kupandishiwa kodi ya mwaka kutoka laki tatu na nusu (350,000) mpaka laki saba (70000) kwa mwaka.
Asubuhi ya leo katika vituo vya daladala wananchi wa maeneo mbalimbali mkoani hapa wameonekana wapo wanatembea barabarani huku bajaji na pikipiki ndio zikiwa zinafanya kazi.
Endelea kuwa nasi tukujuze kinachoendelea 
Bonyeze Hapa like page yetu 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top