Rais
wa Rwanda Paul Kagame amesema kwamba Rwanda na Tanzania ni mataifa
ndugu na yataendelea kuwa ndugu kwa sababu yanachangia udugu huo.
Rais Paul Kagame ameyasema hayo mjini Kigali kwenye kikao na waandishi
wa habari.Nchi za Rwanda na Tanzania zilikabiliwa na wakati mgumu
kuanzia mwaka jana kutokana na kutofautiana kuhusu kundi la waasi wa
kihutu la FDLR linaloendesha mambo yake mashariki mwa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya utawala mjini Kigali.
Mwandishi wetu Sylivanus Kalemera kutoka Kigali ana ripoti zaidi.
Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Kusiliza ripoti hiyo bonyeza hapa
Credit:idhaa ya kiswahili ( DW )
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment