Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mcheza filamu mwenye jina kubwa kwenye filamu za kitanzania Hemed Suleiman amesema anapata wakati mgumu sana akiwa anacheza filamu na msanii mwenzake Wastara Juma,nakuongeza kuwa hiyo ni kwa sababu anapocheza na msanii huyo moyo wake ujaa hofu nakuona kama anamtendea vitendo vya kweli na kuona kama ana myanyasa kumbe wako kazini
 
Amesema ni miaka mitano imepita tangu walipocheza filamu ya Hekima hivyo kuwataka mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani anakuja tena na Wastara kwenye filamu mpya inayokwenda kwa jina la Last Decision iliyoongozwa na Bond Bin Sinnan na kuchezewa Mwanza

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top