Habari
mbaya zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mtoto mmoja kati ya mapacha
wanne Pichani amefariki dunia jioni ya leo baada ya kuugua kifua kwa
muda mfupi, ni mtoto wa kwanza kushoto ambaye pia ndiye alikuwa ni
mkubwa.
Taarifa zaidi zinakuja endelea kufuatilia
Picha ya mapacha hao wanne
Mwandishi
Mkuu wa Mbeya yetu Blog Joseph Mwaisango , akiwa pamoja na mtoto wake
Erick Mwaisango wakati walipo kwenda kuwatembelea watoto hao, hapa akiwa
amemshika Marehemu. Na Mbeya yetu
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment