Mtume, Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema kuwa: "Yeyote
aliyesoma Qur'ani na akajifunza na akaitekeleza, wazazi wake
watavalishwa taji la nuru Siku ya Kiyama. Mwangaza wake ni mfano wa
mwangaza wa jua.
Na wazazi wake watavalishwa suti mbili, na kwa sababu hiyo, watauliza:
Ni kwa sababu y a jambo gani tumevishwa haya? Watajibiwa: Ni kwa sababu
ya mtoto wenu kujifinza Qur'ani". Al-haakim.
M/MUNGU atujaalie nasi tuwe wenye kufuza watoto wetu Quraan. Insha-Allah Ameen
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro






Post a Comment
Post a Comment