Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kwa mujibu wa mashuhuda mbalimbali jumla ya watu watatu inasemekana wamefariki mpaka sasa, huku taarifa ya Jeshi la Polisi nchini ikisema ni mtu mmoja tu aambae amethibitishwa kufa kutokana na tukio hilo.

                                               


Inasemekana bomu hilo lilirushwa na mtu asiyejulikana, huku watu wengi wakihusisha tukio hilo na chuki za kidini zinazoendelea kupandikizwa kwa kasi.
Mpaka sasa mtu mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi nchini kwa kuhusika tukio hilo.             
                                                 
                                           mmoja wa majeruhi akipata hudu ya kwanza
                                               
Idadi ya watu waliofariki dunia katika mlipuko uliotokea jana jijini Arusha kwenye sherehe za uzinduzi wa kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Joseph Mfanyakazi Olasiti imeongezeka na kufikia wawili baada ya kijana mwenye umri wa miaka 16 aliyetajwa kwa jina la James Gabriel kufariki dunia akiwa njiani kupelekwa hospitali ya Taifa ya Muhimbil

                                              

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top