Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
                                               
Senzo Meyiwa akilia baada ya mechi,
Goalkeeper Senzo Meyiwa wa Orlando Pirates iliyofuzu kwenye klabu bingwa afrika kwenye makundi licha ya kufungwa goli 1-0 na TP Mazembe ya lubumbashi,ya DRC .
Pirates imefuzu mara baada ya mechi ya mkondo wa kwanzakushinda 3-1 uwanja wa Orlando Johannesburg.
Meyiwa aliokoa penalti mbili katika mechi ya jana na kuisaidia timu yake kufunzu

Pirates draws ya makundi itapangwa may 7 mjini CAIRO  mechi zitaanzwa kuchezwa july 19 kicks off
VIKOSI
Pirates: Meyiwa, Jele, Lekgwathi, Gcaba, Phungwayo, Myeni, Okonkwo, Maselesa, Segolela, Bester, Mbesuma.
Mazembe: Kidiaba, Frimpong, Kimwaki, Kabiona, Kasusula, Sinkala, Asante, Kabangu, Mputu, Singuluma, Samatta

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top