Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya serikali iliyotolewa leo Bungeni na Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge,Kazi,Vijana ,Ajira na Walemavu) Jenista Mhagama, kivuko hicho kilikuwa na watu 31,magari na mizigo mbalimbali ambapo mpaka sasa mtu mmoja badohajapatikana.
Watu 30 Wameokolewa Baada ya Kivuko cha Kilombero Kupinduka Jana Usiku.....Mtu Mmoja Hajapatikana Hadi sasa
Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya serikali iliyotolewa leo Bungeni na Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Bunge,Kazi,Vijana ,Ajira na Walemavu) Jenista Mhagama, kivuko hicho kilikuwa na watu 31,magari na mizigo mbalimbali ambapo mpaka sasa mtu mmoja badohajapatikana.
Post a Comment
Post a Comment