Kajala Masanja amesema kuwa pamoja na kuwa hawana waelewano mazuri na rafiki yake wa zamani Wema Sepetu, hawezi kusahau wema aliomfanyia wa kumtolea shilingi milioni 13 kwenye huku yake miaka kadhaa iliyopita.
Kajala amesema hafikirii kuzirudisha fedha hizo kwa Wema ambaye amekuwa akieleza kujuta kuutoa msaada huo.
“Sio kwamba natamani kumrudishia milioni 13, kwa sababu mimi najua yeye alinisaidia kipindi mimi naHitaji na hakuna mtu yoyote alitokea kunisaidia kipindi hicho,” Kajala aliiambia Global Online TV .
“Kweli nashukuru mpaka kesho kwa sababu alitoa msaada ambao siwezi kuusahau hata kama tuna ugomvi kiasi gani. Sasa kwa sababu yeye alisaidia kwa moyo mmoja na akikaa akiongea anajuta kwanini alinisaidia kumlipia Kajala inakuwa inamfutia hata zile baraka alizozipata.”
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- ‘Matiti ya Kajala, Dawa za Kichina zinahusika’30 Jul 20160
Baada ya gumzo kubwa kuibuka juu ya muonekano mpya wa matiti ya msanii wa filamu Bongo, Kajala ...Read more ?
- Kajala: Mimi ni Team Magufuli01 Sep 20150
Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amefunguka kuwa kutoonekana kwake kwenye ushab...Read more ?
- Baada ya Kajala Kufunguka juu ya Wema na Petitman, Mke wa Petitman Ang'akaaa!26 May 20150
Kazi ya udaku imenipendeza kwa usiku huu....usingiz umenirukaaa..naoma mke wa petiman wivu ume...Read more ?
- Kajala Atoa Kinyongo, Kwa Mara Nyingine Awashukuru Wema na Petitman na Kufungua Milango ya Urafiki Tena26 May 20150
Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa por...Read more ?
- Nampenda sana Wema ila bado ana chuki na mimi – Kajala25 May 20150
Kajala Masanja amesema hadhani kama ni rahisi kuwa karibu tena na Wema Sepetu baada ya kugombana....Read more ?
- Pichaz: Kajala Ajitoa Fahamu....Afanya Sasambu ya Kufa Mtu Baada ya Kulewa16 May 20150
CHIZIKA! Katika hali ambayo haikutarajiwa, staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amewaach...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment