Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Zuwena Mohamed 'Shilole' juzikati aliwatega vidume baada ya kufanya utundu wa aina yake kwa kuwaita jukwaani na kucheza nao wakati akipafomu kwenye shoo maalum ya Pasaka iliyodhaminiwa na Vodacom mwishoni mwa wiki.
 
Tukio hilo lilinaswa sawia na mwandishi wetu maeneo ya Coco Beach jijini Dar es Salaam baada ya Shilole kupandwa na ‘mzuka’ wakati akicheza na madensa wake waliovaa vibukta vifupi ambapo aliwaomba wanaume kadhaa wapande jukwaani wacheze naye kwa staili za ‘hatari’ kwani yeye alilala chini na mwanaume akaja kwa juu, hali iliyozua miguno kwa umati uliohudhuria.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top