Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Hizi  ni  Picha  kutoka kwenye harusi  Reginald  Mengi ambayo imefungwa kwenye ardhi ya nchi ya Mauritius  mwisho wa mwezi March 2015. 
 
Hii ndoa pia ilishuhudiwa na watoto wao wawili mapacha kama wanavyoonekana kwenye picha pamoja na marafiki wengine wa familia pamoja na ndugu ambao idadi yao inafikia 50.
 
Ndoa imefungwa miezi minne baada ya Reginald Mengi kumchumbia Jacky Dubai kwenye siku ya kuzaliwa ya mrembo huyu December 2014.
 
 
 
 
 
 

Picha  kwa  hisani  ya  Bongo5

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top