Picha: Kitale (Kushoto) akiwana mtangazaji Salma Msangi bamoja na Stan Bakora
Msanii wa filamu na vichekesho, Musa Kitale jioni ya leo (jana) akizungumza kwenye studio za Magic FM,kipindi cha Afrika Kabisa kwenye kipengele cha African Movies, alisema wazi kuwa hawapendi bongo movies kwani wanapenda kurudia rudia na kukopi filamu za nje na kusisitiza hata akiziangalia filamu zao huwa haoni jipya na hazina ubunifu.
Akaendelea zaidi kufafanua kuwa yeye sio mwana bongo movies na wala hayuko karibu nao kwani anaogopa kuwaambukizwa ‘kaugonjwa’ kakukopi kopi kitu mabcho aliwahi kumutahadharisha hata alikuwa lafiki yake wa karibu marehemu Sharo Milionea.
Kitale alikuwa pamoja na Stan Bakora wakielezea ujio wa filamu ya SAFARA HASARA ambayo ndio ya mwisho ya Kitale na Sharo Milionea kurekodi pamoja.
Akielezea filamu hiyo Kitale amesema japo kuwa filamu hiyo wamerekodi mwaka 2012 lakini hadi sasa hakuna hata filamu moja ya kibongo ambayo ina ubunifu kuifunika filamu.
Filamu ya SAFARA HARASA itaingia sokoni mwezi huu tarehe 20 mwaka huu.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Maneno ya Batuli Kuhusiana na Moto Uliyo Teketeza Nyumba yake Jana Akiwa Kwenye Uzinduzi wa Kampeni CCM24 Aug 20150
Staa wa Bongo movie Batuli, leo amepatwa na ajali ya kuungulia nyumba yake kwa moto wakati akiw...Read more ?
- Baba Haji Ashangilia Anguko La Wema Sepetu..Afurahia Wema Sepetu Kushika Nafasi ya Mwisho31 Jul 20150
STAA wa filamu Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ juzikati aliangusha sebene la nguvu kwenye Viwanja ...Read more ?
- Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies.....31 Jul 20150
Nora Bongo Movies Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uig...Read more ?
- Mapenzi Yamtokea PUANI Davina24 Jul 20150
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya amedaiwa kutoswa na mwanaume aliyemuachanisha na mumewe...Read more ?
- Batuli kufuata nyayo za Kanumba, ajipanga kuandaa filamu yenye bajeti kubwa24 Jul 20150
Msanii wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amesema mashabiki wake wa filamu was...Read more ?
- Nora: Bongo Movie Wamesharibu Sanaa ya Uigizaji Tanzania...Huwezi Kaa na Wazazi Wako Ukaangalia Movie Wataharibu Hali ya Hewa tu20 Jun 20150
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amedai kuwa ‘Bongo Movies’ wameharibu sanaa ya ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment