Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Wema Sepetu akiwa ndani ya studio za Radio 5 jana mara baada ya kufanya ziara fupi mjengoni hapo akielezea pia kuhusu show yake ya black and white party iliyofanyika usiku wa tarehe 7/3/2015 jijini Arusha.
  
Kushoto ni mtangazaji mahiri wa kituo hicho Wilfredy akiwa anafanya kipindi na mwanadada huyo, Wanaoonekana pichani ni team Wema.(Habari Picha na Pamela Mlollel wa jamiiblog)
SAM_1387
Wema Sepetu akiwa anaeleza furaha yake yakuwepo jiji Arusha ambapo amesema jiji la Arusha ni miongoni mwa majiji anayoyapenda, Mwanza ikiwa ya kwanza na Arusha ya pili, Kulia ni msanii Petiman a.k.a Wakuache. 


SAM_1381
Mkuu wa vipindi vya Radio5 kulia Mathew Phillip akiwa anakaribisha team Wema.

SAM_1374
Muonekano wa Wema Sepetu akiingia mjengoni akiwa katika gari la kifahari la wazi.
SAM_1393
Meneja wa Wema Sepetu Martin Kadinda akiwa anatoa neno la shukran kwa wana Arusha kwa mapokezi yao makubwa.
SAM_1406
Team mishemishe wakiwa na Wema Sepetu, kushoto; Mwanaisha Suleiman, Wema Sepetu, Mwangaza Jumanne na Hilda Kinabo wakishoo love.
SAM_1404
Mtangazaji mahiri wa kituo cha Radio5 Wilfredy akiwa katika picha ya pamoja na mwana dada Wema Sepetu.
Picha na Mpekuzi blog

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top