Basi la wachezaji wa kano Pillars lililoshambuliwa na wapiganaji nchini Nigeria
Wachezaji watano wa kilabu ya Kano Pillars nchini Nigeria walipigwa risasi na wapiganaji katika shambulizi lillolenga msafara wa kilabu hiyo wakati wachezaji hao walipokuwa wakielekea Owerri katika mechi ya ufunguzi wa Ligi kuu nchini Nigeria.
''Wachezaji watano walijeruhiwa kutokana na shambulizi la risasi .Wachezaji hao ni Gambo,Ogbonaya,Eneji Otekpa na Murtala Adamu'', ulisema ujumbe wa mtandao wa twitter wa kilabu hiyo.
Wapiganaji hao pia walichukua simu pamoja na vitu vyengine muhimu vya wachezaji hao.
kano Pillar
Mechi iliokuwa ichezwe siku ya jumamosi kati ya timu hiyo na ile ya Heartland imeahirishwa mara moja.
Kilabu hiyo ya Kano Piilars ilikuwa ndani ya basi lililowabeba wachezaji 25,ikiwemo wachezaji 18,wakati wa tukio hilo lililotokea mwendo wa saa saba na robo saa za Nigeria.
kano Pillars
Wachezaji waliojeruhiwa kwa sasa wanaendelea kupokea matibabu katika kituo cha matibabu cha Lokoja.
Siku ya ijumaa beki wa kilabu hiyo Reuben Ogbonnaya aliiambia BBC kwamba anamshukuru Mungu kwa kumuezesha kuishi kwa sababu hajui ni nini kingetokea.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ujumbe wa Samatta kwa Waliotamani Genk Ingepangwa Kundi Moja na Man United28 Aug 20160
Mchana wa August 26 2016 shirikisho la soka barani Ulaya UEFA lilichezesha droo ya kupanga makund...Read more ?
- Cristiano Ronaldo ashinda tuzo ya mwanasoka bora Ulaya26 Aug 20160
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora Ulaya. Ron...Read more ?
- Makundi ya klabu Bingwa Ulaya 2016/201726 Aug 20160
Droo ya kupanga Makundi ya klabu Bingwa Ulaya 2016/2017 ratiba kamili ya hatua ya makundi ya Uefa ...Read more ?
- MICHEZO Bilionea anayetaka kuinunua Simba, ametaja kilichomsikitisha katika mkutano wa Simba01 Aug 20160
Siku moja baada ya mkutano mkuu wa Simba kufanyika na kukubali kupitisha maadhimio ya mabadilik...Read more ?
- Gonzalo asajiliwa na Juventus kwa pauni milioni 7528 Jul 20160
Klabu ya Juventus wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Argentina, Gonzalo Higuain kutoka klabu...Read more ?
- Hongera Yanga kwa mlipofika, tujipange upya28 Jul 20160
Ni muda mrefu soka la Tanzania kwenye ngazi za vilabu limeonekana kuzorota kufuatia vilabu vyake k...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment