Huyu jamaa ni nadra sana kumuona hadharani...Jana Katika Uzinduzi wa Studio Mpya za Azam TV , Mfanya Biashara huyo alijitokeza na kukutana na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete Live......
Haya Bakheresa Ndio Huyo ..Najua wengi mlikuwa hamjawahi kumuona...
Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi
Post a Comment
Post a Comment