Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Raia waliokuwepo eneo la tukio wakishangaa.
Duka la vinywaji lililoibiwa.
Sehemu ambayo majambaji wameiba silaha Bunduki aina ya Short Gun.
 Askari akiwa ndani ya duka la vinywaji akifanya mahojiano na wahusika.

 VITENDO vya ujambazi vinazidi kushika kasi kwenye jiji la Dar, ambapo tukio jingine limetokea leo mishale ya saa kumi jioni maeneo ya Mikocheni Kwa-Mwalimu Nyerere baada ya watu wanne kutinga eneo hilo wakiwa  na pikipiki na kumpora mlinzi silaha aina ya Short Gun aliyekuwa akilinda kwenye ATM ya CRDB.  Majambazi hao waliitumia bunduki hiyo kwa kuvamia duka la vinywaji lililokuwa jirani na kuiba kiasi kikubwa cha pesa japo hakikuweza kufahamika kwa wakati huo.
(HABARI/PICHA: MAYASA MARIWATA NA SHANI RAMADHANI/GPL)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top