March 21, 2025 12:08:14 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Zimeonekana picha na video zikumuonesha Diamond Plutnumz akiwa Hospitali akifanyiwa upasuaji wa mguu, magazetini kukawa na Headlines zilizoandikwa kwamba alinusurika kukatwa mguu.

Soudy Brown amemtafuta Diamond ambapo ishu ya mguu amesema alifanyiwa upasuaji huo wa mguu kutokana na kichuma alichokuwa nacho siku nyingi kwenye mguu, kwa sasa amepona.
Kuhusu afya ya mama yake amesema baada ya kurudi India kwenye matibabu amepona kabisa, ishu ya ujauzito wa mpenzi wake Zari, Diamond amesema anatarajia mtoto wake wa kwanza na anamsubiri mtoto wake huyo kwa hamu sana.

Ili kuisikiliza story yote bonyeza play hapa chini… 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
18 Mar 2015

Post a Comment

 
Top